iqna

IQNA

Jinai za Israel
IQNA-Mataifa na shakhsia mbalinmbali ulimwenguni wameendelea kupongeza uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kutoa kibali cha kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu, na aliyekuwa waziri wake wa vita Yoav Gallant, wakituhumiwa kutenda jinai za vita.
Habari ID: 3479792    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22

TEHRAN (IQNA)- Benjamin Netanyahu mtenda jinai ametimuliwa madarakani na kufikia tamati utawala wake wa miaka 12 katika utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474006    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/14